Wednesday, May 1, 2013

MAMA NAKUFAAAAAAAAAAAAAAAAA

  Ni baada ya Chui kutishia amani ya wanakijiji kwa muda wa wiki kama mbili serikali iliamua kutumia askari wa wanyama pori maarufu Tanzania kama askari GAME ili kuweza kudhibiti Chui huyo aliyevamia kijiji kimoja huko nchini INDIA, na baada ya askari GAME hao kwenda kumsaka chui huyo aliyekuwa na umbo kubwa na mwenye nguvu za kuweza kupambana na watu zaidi ya watano na mambo yalikuwa kama hivi....       
 Chui aliwaacha askari game hao midomo wazi baada ya kumtaimu na kumrukia askari mmoja wapo na king'ang'ania shingo ya askari huyo na kuwafanya askari wengine wabaki kuwa watazamji na bila kuju cha kufanya ili waweze kumnasua kamanda mwenzao..
Mmmmmh, Ingekuwa BONGO je? leo tungekuwa tunasemaje?

No comments: