
Rais Dk. Jakaya Kikwete akimfariji Msanii wa taarabu Hadija Kopa nyumbani kwake mjini
Bagamoyo jana kufuatia kifo cha Mumewe Marehemu Jaffari Ali Yusuf aliyefariki na kuzikwa wiki iliyopita.
Rais
Dk. Jakaya Kikwete akiwafariji wanafamilia, ndugu jamaa na marafiki
wa msanii maarufu wa taarabu na mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa CCM,
Hadija Kopa kufuatia kifo cha mumewe Jaffari Ali Yusuf kilichotokea
wiki iliyopita na kuzikwa Bagamoyo.
Wa pili kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Ahmed Kipozi na (kulia) ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya taifa CCM, Ridhwani Kikwete. |
No comments:
Post a Comment