
Masele alikuwa akiendesha gari aina ya pajero mini na baada ya kufika katika junction hiyo ya makorora aliingia mmoja kwa moja bila kusubilia magari na pikipiki zilizokuwa zikitokea highway na kupelekea kusababisha ajalia ambapo mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda akitokea madina aliyeonekana akitembelea speed 100 kilisema chanzo chetu, aligonga gari ya Masele aliyekuwa ameingia vibaya na bodaboda huyo kupoteza maisha hapo hapo, na Masele baada ya kuona ajali imetokea aliamua
kung'ang'ania ndani ya gari huku akionekana kuwa na mwanamke mmoja aliyekuwa naye kwenye gari na kupelekea wananchi kuvunja kioo cha gari lake na Masele kutoka na kukimbilia Nyumba ya jirani, na baada ya muda mfupi polisi walifika na kumnusuru Masele na kuondoka nayekuelekea kituo kidogo cha polisi mabawa.
No comments:
Post a Comment